Wednesday, July 15, 2015

WAFANYAKAZI WA NIC WAFUTURU PAMOJA NA WATOTO YATIMA.

Siku hii ilikuwa maalum kwa ajili ya kufuturu na watoto yatima ambayo wafanyakazi wa NIC (T) walijiandaa kama njia mojawapo ya kushiriki na jamii hii ambayo inahitaji msaada wa hali na mali na kuamua kuitumia kujenga mahusiano mazuri na jamii hii. Chini ni baadhi ya picha za matukio yaliyojiri siku hiyo.
watoto tayari kwa futari












waumin wakijiandaa wakati wa  swalat maghribi  





Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga akiwa eneo la tukio na mkewe pamoja na watoto wao




Muda wa kuandalia futari wageni 




Ni muda maalum wa kupata futari kwa watoto 




Haruna Kashushu akichukua futari tayari kwa kuwapatia wageni


Bi. Nyaoga Lupeja akichukua futari

Mkuu wa kitengo cha mahusiano Mwanaidi Shemweta akichukua futari 

Ni muda maalum wa kupata futari







Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akizungumza na wageni

Imam wa Msikiti wa Ngazija akizungumza jambo 

Watoto wakifuatilia jambo 


Watoto wakifuatilia jambo lililokuwa linaendelea

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akipozi na masheikh waliohudhuria futari pamoja na baadhi ya maafisa bima.

Baadhi ya wanakamati ya maandalizi wakiwa katiak picha 


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akipozi na watoto yatima waliohudhuria futari

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akipozi na watoto yatima waliohudhuria futari


Hii ilikua ni zawadi kwa ajili ya watoto 




Wawakilishi wakipozi na Kaimu Mkururgenzi Mtendaji

No comments: