Friday, July 24, 2015

MAFUNZO YA ELIMU YA GAS NA MAFUTA

Washiriki wafunzo ya elimu ya gas na mafuta wakisikiliza kwa umakini 


Mkufunzi wa elimu ya gas na mafuta Simon Cartwright akielekeza jambo kwa washiriki



Kaimu Mkurugenzi wa Bima zisizo za Maisha na mshiriki wa mafunzo hayo akifuatilia jambo wakati wa mafunzo


Eng. Eliawony TOWO (kushoto) akifuatilia maelezo ya mkufunzi wakati wa mafunzo

Simon Cartwright akizungumza na washiriki wa mafunzo hayo





Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga akiwa na mkufunzi wa mafunzo ya gas na mafuta Simon Cartwright. 



Picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mafunzo ya elimu ya gas na mafuta kwa washiriki wa mafunzo hayo pamoja Kaimu Mkurugenzi mtendaji 

No comments: