Tuesday, July 21, 2015

NIC YATINGA IKULU KUKABIDHI HUNDI KWA MHESHIMIWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO DR. JAKAYA MRISHO KIKWETE

Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na
 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Bw. Sam Kamanga


Picha ya pamoja Team NIC na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Mazungumzo ya hapa na pale


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji  Bw. Sam Kamanga akisubiri saini 
ya mteja wetu namba moja bada ya kumkabidhi cheki 
ya Bima yake iliyoiva



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akitoa maelezo kwa Mh. Rais
 juu ya fursa za Bima katika sekta ya Gesi na Mafuta 



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akitoa shukrani kwa serikali ya awamu ya nne 
kwa kuonyesha nia ya kuipatia uwezo NIC 


Mkurugenzi wa Bima za maisha Bi. Rose L. Lawa akisisitizia jambo kwa Mh. Rais 



Mh. Rais katika picha ya pamoja na wageni wake



Mheshimiwa alipendezewa na ugeni toka NIC 
akausindikiza nje ya mjengo na kuagana na wageni wake.



Kaimu Mkurugenzi wa Bima zisizo za maisha Bw. Lazaro Bangilana akiagana na mheshimiwa rais





No comments: