Friday, May 22, 2015

ZIARA YA KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI TAWI LA DODOMA

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga akiwa katika tawi la Dodoma tayari kwa kikao na maafisa bima wa tawi hilo.

Kaimu Mhasibu Mkuu Bi. Tabu S. Kingu akiwa katika ukumbi wa tawi la Dodoma tayari kwa kikao.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akizungumza na maafisa bima tawi la Dodoma, kulia ni Mkurugenzi wa Bima za Maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa. 

Maafisa Bima tawi la Dodoma wakifuatilia mazungumzo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akizungumza na maafisa wa Bima tawi la Dodoma sambamba na MNkurugenzi wa Bima za maisha Bi. Rose Lutu Lawa (katikati) na Bw. Fadhil Kasira.


Bw. Ruta F. Kaijage akifuatilia mazungumzo sambamba na maafisa wa bima tawi la Dodoma wakifuatilia kwa umakini mazungumzo na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji.




Maafisa bima wakipozi katika picha pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji alipotembelea tawi la Dodoma. 

No comments: