Thursday, May 14, 2015

KUMBUKUMBU

Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Bi Anne Mbughuni akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkuu wa kitengo cha mahusiano Bi Mwanaidi Shemweta na Ntiba Bunny 

Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja Bw. Henry Machoke akiwa katika mradi wa kuelimisha wanafunzi juu ya elimu ya Bima.

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Bw. Justine P. Mwandu akipozi katika picha ya pamoja na wakurugenzi, menejiment na wakuu wa idara. 

Alieyekuwa Mkurugrnzi Mtendaji Bw. Justine P. Mwandu akimkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hati ya bima ya matumaini wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Mkuu wa kitengo cha Mahusiano Bi. Mwanaidi Shemweta, Mkurugenzi wa Bima za maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa. 

No comments: