Friday, May 22, 2015

ZIARA YA KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI TAWI LA SINGIDA

Msafara unaingia Tawi la Singida kwa ajili ya kikao na wafanyakazi 

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sama kamanga akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi bima za maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa

Maafisa bima wakifurahia jambo pamoja na Mkurugenzi wa Bima za Maisha na Pensheni.



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akifurahia jambo wakati kikao na wafanyakazi wa NIC tawi la Singida kikiendelea.


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga akizungumza na mteja ambaye al;ikuwa akitoa malamiko kuhusu huduma za Bima.




Kaimu Mkurugenzi Mtendaji akiwa katika picha ya pamoja na maafisa Bima tawi la Singida.

No comments: