Monday, May 18, 2015

USHIRIKIANO NI SILAHA


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga (katikati) akiwa katika mahojiano na mtangazaji wa TBC1 Bw. Marin Hassan Marin (kushoto) sambamba na Meneja tawi la Dodoma Bw. Lugano Stanton.


Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi NIC Bi. Flora Kasambala akimwelekeza jambo Afisa ununuzi NIC Bi. Esther Sanga. 

Afisa Bima za Maisha Bi. Highness Mongo (kushoto) akimwelekeza mteja mpya jinsi ya kujaza fomu kwa ajili ya huduma za bima ya Matibabu



Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Bima za Maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa (wa kwanza Kulia), Mkuu wa Ktengo cha Mahusiano Bi. Mwanaidi Shemweta (wa kwanza kushoto) sambamba na mtangazaji wa kituo cha runinga TBC1 Marin Hassan Marin, baada ya mazungumzo yaliyofanyika makao makuu ya NIC.
.

No comments: