Friday, May 22, 2015

KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA TAWI LA MOROGORO

Jengo la NIC Morogoro kwa nje





Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga kabla ya kuanza kikao na wafanyakazi wa tawi la Morogoro.

Mkurugenzi wa Bima za Maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa akijianda na kikao pamoja an wafanyakazi wa Bima tawi la Morogoro. 

Kaimu Mhasibu Mkuu wa NIC Bi. Tabu S. Kingu akijiandaa kwa makini na kikao hicho.

Meneja tawi la Morogoro Bi. Neema Mhauka.



Maafisa wa Bima Tawi la Morogoro wakifuatilia kwa makini kikao hicho Kutoka kulia ni Mhasibu Msaidizi Bw. Osmond Haule, Dereva wa Morogoro Bw. Saidi Kika na Dereva wa Mkurugenzi Mtendaji Bw. Madodi.

Mhasibu Mkuu wa Tawi la Morogoro Bw. Jorwa Mtani (kulia) sambamba na maafisa bima Fred Solomon (katikati) na Shakwanande Kwayu wakati kikao hicho.

Mkurugenzi wa Bima za maisha na Pensheni Bi. Rose Lutu Lawa akiongea na wafanyakazi wa tawi la Morogoro wakati wa ziara ya kaimu Mkurugenzi Mtendaji .



Kaimu mkurugenzi Mtendaji akizungumza na Wafanyakazi wa tawi la Morogoro wakati wa ziara yake kikazi  kanda ya kati.



No comments: