Thursday, May 14, 2015

MEI MOSI 2015

Wafanyakazi wa NIC wakiwa tayari kwa maandamano kuelekea uwanja wa |Taifa Dar es Salaam. 

Pichani juu na chini wafanayakazi wakishiriki katika maandamano Uwanja wa Taifa





Gari la matangazo kwa ajili ya wafanyakazi wa NIC



Mgeni rasmi katika siku ya wafanyakazi duniani amabaye pia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, akiingia ukumbini kwa muziki uliokuwa umeandaliwa na wafanyakazi kumuunga mkono kwa kuserebuka.

Mgeni rasmi akicheza muziki na wafanyakazi wa NIC

No comments: