Thursday, March 19, 2015

NIC SASA KWENYE MKONGO WA TAIFA.

Mameneja wa mradi kutoka TTCL na wa NIC wakiwa na tabasamu baada ya kukamilisha mradi huo.


Mkrugenzi wa Fedha wa NIC Bi. Anne Mbughuni akifuatilia mradi huo kwenye picha.




Picha ikionyesha matawi ya NIC yaliyounganishwa kwenye mtandao wa TTCL (MPLS-VPN)

Mkuregenzi Mtendaji Mstaafu Bw. Justine Mwandu akipokea cheti kutoka kwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura

Menejimenti ya NIC na TTCL katika picha ya Pamoja baada ya kukamilika kwa mradi wa Mkongo wa Taifa.

No comments: