Thursday, March 26, 2015

MKUTANO WA CHAMA CHA WAFANYAKAZI WA USAFIRISHAJI KWA NJIA YA BARABARA TANZANIA (TAROTWU).



Chama cha Wafanyakazi wa Usafirishaji kwa njia ya Barabara Tanzania (TAROTWU) kesho kitakuwa na mkutano muhimu kwa ajili ya madereva wa mabasi ya abiria yaendayo mkoani na vijijini pamoja na vitongoji vya Manispaa ya Morogoro, madereva wa malori,bajaji na pikipiki, makondakta,matingo na mafundi wa magari na maajenti wa mabasi na malori.

Katika mkutano huo kutakuwa na mada elimu kutoka kwa Shirika la Bima la Taifa, SUMATRA, TRA na AFISA KAZI wa MOROGORO, Mnaombwa kufika bila kukosa kuhudhuria mkutano huu muhimu katika kazi zetu za kila siku utakaofanyika kesho tarehe 27 Januari 2015 katika ukumbi wa MOUNT ULUGURU.

Fika bila kukosa ili ufaidike na unufaike kwa elimu utakayopata, HAKUNA KIINGILIO.

No comments: