Watalaam wa Bima za Maisha na Bima zisizo za maisha Bw. Lazaro Bangilana (Kushoto) na Isihaka Kibamba (Kulia) wakipeana maelekezo juu a Teknolojia mpya ya BIMA ambayo imeanza kutumika kwa majaribio kwenye shirika la Bima la Taifa
Kaimu kiongozi (ag. Project Manager) Mr . Samson Lugembe akifuatilia kwa karibu akiwa na wataalam kutoka nje majaribio ya Teknolojia ya Teama kwa upande wan bima zisizo za maisha.
No comments:
Post a Comment