Thursday, March 19, 2015

NDOTO YA KUSIMIKA TEKNOLOJIA MPYA YA TEHAMA KWA SHIRIKA LA BIMA YAKAMILIKA


Watalaam wa Bima za Maisha na Bima zisizo za maisha Bw. Lazaro Bangilana (Kushoto) na Isihaka Kibamba (Kulia) wakipeana maelekezo juu a Teknolojia mpya ya BIMA ambayo imeanza kutumika kwa majaribio kwenye shirika la Bima la Taifa


Kaimu kiongozi (ag. Project Manager) Mr . Samson Lugembe akifuatilia kwa karibu akiwa na wataalam kutoka nje majaribio ya Teknolojia ya Teama kwa upande wan bima zisizo za maisha.

No comments: