Thursday, March 19, 2015

MKUTANO WA SEMINA ELEKEZI ULIOITISHWA NA KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI KWA MENEJIMENTI YA SHIRIKA

Wajumbe wa semina elekezi wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa semina.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Sam Kamanga akizungumza na wajumbe walioshiriki semina elekezi (hawapo pichani)

Wajumbe walioshirikisemina elekezi wakipozi kwa picha ya ukumbusho mara baada ya kumalizika kwa semina elekezi iliyoitishwa na kaimu Mkurugenzi.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga (kushoto) akipozi katika picha na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Dr. Edmund Mndolwa. 

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Dr. Edmund Mndolwa, Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga wakipozi mara baada ya kumalizika kwa semina elekezi.







No comments: