Thursday, October 3, 2013

BODI YA WAKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA - NIC


Picha ya pamoja ya Bodi mpya ya wakurugenzi ikiwa chini ya uenyekiti wa Dr. Edmund Mndolwa (wa pili kutoka kulia) wa kwanza mkono wa  kulia ni mkurugenzi mtendaji  Bw. Justine Mwandu..

Saturday, September 7, 2013

Mfahamu Afisa Habari wa Shirika la Bima NIC

               
                   Afisa Habari wa Shirika la Bima la Taifa Bi. Mwanaidi Shemweta akiwa kazini.

Wednesday, March 27, 2013

HABARI KATIKA PICHA KUTOKA TAWI LA BUKOBA

Ufunguzi wa ofisi ya wakala posta katika wilaya za
Muleba na Misenyi katika vitongoji vya 
Kamachumu na Kyaka

.
   
Meneja wa Tawi la Bukoba Bw. Ismail Bitegeko akiwa na Ofisa wa Bima mbele ya ofisi ya wakala katika kitongoji 
cha Kamachumu
                                                 
               


Ofisi ya wakala katika kitongoji cha Kyaka

Thursday, March 21, 2013

MATUKIO - Moja ya mikakati ya Shirika ni kuongeza uwezo katika rasilimali watu - Wafanyakazi wa shirika wapatiwa mafunzo mjini Morogoro


Wahasibu waandamizi katika picha ya pamoja



Picha ya pamoja Wahasibu pamoja na Wakaguzi wa mahesabu wa ndani




Picha ya pamoja  maofisa wa Bima. (Insurance Officers)






Maofisa wa Bima wakifuatilia kwa karibu mafuzo




             Mkufunzi akiwa anatoa mafunzo kwa maofisa wa Bima




Picha  ya Pamoja ya maofisa wa juu wa Bima 
(Principal Insurance Officers)




Friday, March 1, 2013

COMESA - Job Advert



           CALL FOR APPLICATIONS 

The Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA) is a regional grouping
of  19  African  States  which  have  agreed  to  promote  regional  integration  through  trade development  and  transport  facilitation.  More information can be obtained from the COMESA website www.comesa.int.
COMESA invites applications from suitably qualified and experienced professionals for the following post: 

Job Title                :  Senior Insurance Expert

 Key Tasks
 
The  Senior  Insurance  Expert  shall  be  under  the  direct  supervision  of  the  Chief
Programme Officer of the Yellow Card and Regional Customs Transit Guarantee (RCTG
–CARNET)  Scheme  and  overall  authority  of  the  Secretary  General  of  COMESA. 

Grade                                :  P4
Division                             :  Yellow Card and Regional Customs Transit Guarantee
                                             (RCTG–CARNET) Scheme
 Duty Station                    :  Lusaka
 Commencement Date     :  June/July, 2013
Report To                         :  The Chief Programme Officer


Duties and Responsibilities:

1.    Assist in the implementation and coordination of the Yellow Card Scheme in the
     COMESA member States;
2.    Liaise  with  and  assist National  Bureaux  in  their  operations  of  the  Yellow  Card
scheme, as well as, in the implementation of the decisions and recommendations of the Council of Bureaux and Technical Management Committee; 2
3.  Assist in initiating, coordinating and managing the Yellow Card Scheme;
4.  Identifying the problems in the operations of the Yellow Card Scheme and proving
     solutions; 
5.  Initiate  measures  and  changes  to  improve  the  technical,  legal,  financial  and
     administrative instruments of the Yellow Card scheme;
6. Assist in administration and functioning of the Yellow Card Office (Secretariat the Council
    of Bureaux);
7.  Providing advisory services and technical assistance to members in the
     implementation and administration of the Yellow Card scheme;
8.   Prepare reports and papers on activities and operations of scheme; 
9.   Conduct studies to enhance the efficiency of operations the Yellow Card scheme;
10.  Assist  the  National  Bureaux  ,  the  Pool  Managers  and  other  stakeholder  by
      Providing up-to –date and reliable Yellow Card information;
11.  Service the meetings of the Council of Bureaux of the Third Party Motor Vehicle
      Insurance (Yellow Card) Scheme and Technical Management Committee of the
      Reinsurance Pool of the Yellow Card scheme; and
12.  Any  other  related  duties  that  may  be assigned  to  you  by  the Chief  Programme
      Officer or the Assistant Secretary General (Programmes) from time to time

Minimum Qualifications 

(a)    Minimum of Postgraduate Degree in Economics , Business Administration, Law or
Any other relevant field, and

(b)    Diploma  from  the  Chartered  Insurance  Institute  of  London  (ACII-previously
      called Associate  ship CII)  or  other  recognized  Institute or  College.  FCII is an
      added advantage 

Professional Experience
A  minimum  of ten  (10)  years  professional  experience,  five  of  which  are  at  senior
Management position. Knowledge of the COMESA region is desirable.

Working  Language 
Must be fluent in English and/or French and/or Arabic (oral and written). A combination
of any two or all of these languages will be an added advantage. 

Eligibility  for  Applications
 Applicants must be citizens of a COMESA Yellow Card Scheme member country.

Applications with Copies of relevant certificates and awards, MUST be submitted by using the  prescribed  COMESA  APPLICATION  FORM  which  can  be accessed at  the  following  COMESA website:http://www.comesa.int/,  Opportunities, COMESA  Job Application Format.

Only shortlisted candidates will be contacted for interview.

All applications should be addressed to;
MANAGING DIRECTOR
NATIONAL INSURANCE CORPORATION OF TANZANIA LTD
(COMESSA YELLOW CARD – NATIONAL BUREAU OF TANZANIA)
P.O. BOX 9264,
DAR ES SALAAM,
TANZANIA
Deadline:       08th February 2013.




Tuesday, February 12, 2013

Outgoing Chief Accountant Mr.Gregory Ngonyani bids farewell (Message)

Dear fellows employees,

As you are aware that I have just joined Tan Re, I wish to say Kwa Herini.

From my bottom of my HEART, I thank you all for the support and Cooperation you have been extending to me for 22 years I have worked with NIC.To be frankly NIC has been my home and I am going to miss you guys.

I wish NIC and you all a success. Kindly pray for me so that I become your good Ambassador.

Thank you and GOD BLESS YOU ALL
 
Gregory Ngonyani

Friday, February 8, 2013

Wataalam wa Chuo Kikuu cha Usanifu Majengo (ARDHI UNIVERSITY) Wakutana na uongozi wa shirika

Mhandisi wa shirika la Bima Bw. Towo akitoa maelezo juu ya mradi wa usanifu majengo ya shirika.



 
Mkuu wa idara ya Usanifu majengo kutoka ARU - Dr. Bulamile akifuatilia jambo kwa karibu sana kutoka kwa mmoja wa wasaidizi wake.

Dr. Bulamile akielezea jambo juu ya moja ya majengo ambayo yako katika mchakato
wa ukarabati wa majengo ya ofisi za shirika. 


 

Maandalizi ya TEHAMA (Teknologia Habari na Mawasiliano) Shiriika la Bima

Timu ya wataalamu wa Bima za Mali na Ajali na Wahasibu wakifuatilia jambo kwa karibu sana kutoka kwa mtaalam aliyekuwa nje ya nchi kwa kupitia kingámuzi



Wataalamu wa timu ya ufundi ya Bima za Mali na Ajali  Bw. Juma Kiungulia, Bw. Fabian Mbegete na Bw. Daniel Mareale wakijadili jambo juu ya mfumo mpya wa Teknohama
 
 

Wataalamu wa timu ya ufundi ya Bima za Mali na Ajali  wakifuatilia jambo kwa makini sana
 

Wataalamu wakijadiliana

Wednesday, February 6, 2013

Uteuzi....

Uongozi wa shirika la bima la taifa NIC umemteua Bi. Tabu Kingu kukaimu nafasi ya Mhasibu Mkuu wa shirika nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Gregory Ngonyani ambaye anakwenda kujiunga na Tanzania Reinsurance Corporation (TAN-RE). Uteuzi huu umeanza kutoka tarehe 5/02/2013.

Uongozi  umetoa shukrani nyingi kwa Bw. Ngonyani kwa kulitumikia shrika kwa kipindi chote alichokuwa katika ajira kama Mhasibu Mkuu.


Bi Tabu Kingu akiwa anasisitizia jambo katika moja ya mikutano
ya menejimenti ya shirika la Bima la Taifa (NIC)


Bi. Tabu Kingu akiwa na Mameneja wa matawi ya shirika la Bima
Kutoka kushoto ni Bw. Ignatius Iruganyuma (Musoma),
Bi. Halima Makange (Shinyanga), Bi. Neema Mhauka (Morogoro)
 na Bi.Catherine Magodi (Life House-Dar Es Salaam).

Tuesday, February 5, 2013

Mawili .... Matatu

Mameneja wa matawi ya Arusha (wa pili kushoto) na Moshi (wa pili kulia)
wakibadilishana mawazo na timu ya wataalamu wa Teknohama wa Shirika


Baadhi ya wataalamu wa Teknohama wa Shirika waliongozwa na Bw. Michael Mwenda (katikati), Mohamed Rashid (wa kwanza kushoto) na Bi Melania Dirisha (wa pili kulia) wakiteta jambo na Mameneja wa mikoa ya Arusha na Moshi Bw. Godwin Ole Kambainei na John Mdenye..

Meneja wa Tawi la Mtwara Bw. Waziri Mkwanda  (kulia) akionyesha
jinsi ya kutumia Teknohama katika kurahisisha moja
ya kazi zifanyikazo katika tawi lake.
Pembeni yake ni mtaalamu wa Teknohama Bi. Melania Dirisha.

Monday, February 4, 2013

Wataalamu wa Shirika la Bima la Taifa wakiwa na wataalamu kutoka India

Mkurugenzi wa Bima Non Life Bw. Kura Bonface akiwa pamoja na
Ofisa wa bima za magari Bi. Immaculata Mweteni pamoja na timu ya wataalamu kutoka India

Timu ya wataalamu wa Shirika la bima na wataalamu kutoka India

Wataalamu wa Shirika la bima la Taifa na wataalam kutoka India

                                    Maofisa wa Bima za maisha wakiwa na mtaalamu kutoka India

Maofisa wa Bima kutoka matawi yote Tanzania wapata mafunzo Morogoro

Wednesday, January 30, 2013

Ushiriki wa shirika la Bima katika maonyesho ya Nane Nane kitaifa Dodoma 2012

Mission and Vision of NIC

Mmoja wa wateja akitembelea banda la maonyesho la shirika la bima, Nane Nane 2012 - Dodoma


Meneja wa Tawi la Dodoma Bw. Lugano Stanton akitoa elimu ya bima
kwa wateja waliotembelea banda la shirika la bima (NIC)

Mteja akisaini kitabu cha wageni

Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke akizungumza na wanafunzi

Wanafunzi wakimuuliza maswali Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke  



                         Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Justine Mwandu akibabadilishana mawazo na
                                                Mkurugenzi  wa Masoko Bw. Henry Machoke

             Afisa wa Bima kutoka tawi la Dodoma Bw. Milton Mlaki akizungumzia jambo na  wateja
                                    

Shirika la Bima (NIC) ladhamini wa mashindano ya magari ya PUMA ENERGY RALLY ya mwaka 2012

Washindi wa mashindano ya PUMA ENERGY RALLY 2012

Meneja Masoko Bw. Elisante Maleko akiwa na mgeni rasmi
Mstahiki Meya wa Manispa ya Ilala Mhe. Jerry Slaa.

Moja ya magari ya mashindano likiondoka kituoni

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika la bima (NIC) Bw. Justine Mwandu
akitoa ishara ya kuliruhusu moja ya magari ya mashindano kuondoka kituoni.
Meneja Masoko Bw.Elisante Maleko akipokea cheti cha kushukuru udhamini wa mashindano ya magari kwa niaba ya shirika la bima (NIC) kutoka kwa mwakilishi wa PUMA ENERGY RALLY  2012