Friday, February 8, 2013

Maandalizi ya TEHAMA (Teknologia Habari na Mawasiliano) Shiriika la Bima

Timu ya wataalamu wa Bima za Mali na Ajali na Wahasibu wakifuatilia jambo kwa karibu sana kutoka kwa mtaalam aliyekuwa nje ya nchi kwa kupitia kingámuzi



Wataalamu wa timu ya ufundi ya Bima za Mali na Ajali  Bw. Juma Kiungulia, Bw. Fabian Mbegete na Bw. Daniel Mareale wakijadili jambo juu ya mfumo mpya wa Teknohama
 
 

Wataalamu wa timu ya ufundi ya Bima za Mali na Ajali  wakifuatilia jambo kwa makini sana
 

Wataalamu wakijadiliana

No comments: