Wednesday, January 30, 2013

Ushiriki wa shirika la Bima katika maonyesho ya Nane Nane kitaifa Dodoma 2012

Mission and Vision of NIC

Mmoja wa wateja akitembelea banda la maonyesho la shirika la bima, Nane Nane 2012 - Dodoma


Meneja wa Tawi la Dodoma Bw. Lugano Stanton akitoa elimu ya bima
kwa wateja waliotembelea banda la shirika la bima (NIC)

Mteja akisaini kitabu cha wageni

Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke akizungumza na wanafunzi

Wanafunzi wakimuuliza maswali Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke  



                         Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Justine Mwandu akibabadilishana mawazo na
                                                Mkurugenzi  wa Masoko Bw. Henry Machoke

             Afisa wa Bima kutoka tawi la Dodoma Bw. Milton Mlaki akizungumzia jambo na  wateja
                                    

No comments: