Wednesday, January 30, 2013

Shirika la Bima (NIC) ladhamini wa mashindano ya magari ya PUMA ENERGY RALLY ya mwaka 2012

Washindi wa mashindano ya PUMA ENERGY RALLY 2012

Meneja Masoko Bw. Elisante Maleko akiwa na mgeni rasmi
Mstahiki Meya wa Manispa ya Ilala Mhe. Jerry Slaa.

Moja ya magari ya mashindano likiondoka kituoni

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika la bima (NIC) Bw. Justine Mwandu
akitoa ishara ya kuliruhusu moja ya magari ya mashindano kuondoka kituoni.
Meneja Masoko Bw.Elisante Maleko akipokea cheti cha kushukuru udhamini wa mashindano ya magari kwa niaba ya shirika la bima (NIC) kutoka kwa mwakilishi wa PUMA ENERGY RALLY  2012

No comments: