Friday, February 8, 2013

Wataalam wa Chuo Kikuu cha Usanifu Majengo (ARDHI UNIVERSITY) Wakutana na uongozi wa shirika

Mhandisi wa shirika la Bima Bw. Towo akitoa maelezo juu ya mradi wa usanifu majengo ya shirika.



 
Mkuu wa idara ya Usanifu majengo kutoka ARU - Dr. Bulamile akifuatilia jambo kwa karibu sana kutoka kwa mmoja wa wasaidizi wake.

Dr. Bulamile akielezea jambo juu ya moja ya majengo ambayo yako katika mchakato
wa ukarabati wa majengo ya ofisi za shirika. 


 

No comments: