Friday, November 4, 2016

UTEUZI WA MKURUGENZI MTENDAJI MKUU WA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA - NIC

Ndugu Wafanyakazi.
Habari za kazi na poleni na majukumu ya kila siku.
Tafadhali soma taarifa ya hapo juu hii ni taarifa rasmi kutoka idara ya Habari Ikulu.

Aidha Tuungane wote kumpongeza Ndugu Sam  Kamanga kwa kuteuliwa kwake kushika wadhifa huu mzito wa kuliongoza Shirika letu na kumtakia kila la kheri katika kufanikisha majukumu yake ya kila siku.

Tuwe pamoja kama 'TEAM'
Asanteni.

G Uronu

Ag DFA

Tuesday, July 19, 2016

KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI MKUU WA SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA NIC ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA ATI (ASSOCIATION OF TANZANIA INSURERS)


Kaimu  Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bima la Taifa Ndugu Sam Kamanga achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya Association of Tanzania Insurers (ATI)Uchaguzi huo uliofanyika hivi karibuni uliwachagua  wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi watakaoongoza ATI kwa kipindi cha kipindi cha miaka miwili ijayo.

Tuesday, May 3, 2016

MAFUNZO YA UTAALAMU WA GESI NA MAFUTA KWA WATAALAMU WA BIMA YAFANYIKA MAKAO MAKUU

TIMU YA WATAALAMU WA MASUALA YA  BIMA KATIKA GESI NA MAFUTA KITOKA INDIA ILIWASII NCHINI KUTOA MAFUNZO KWA MAOFISA WA BIMA IKIWA NI MOJA KATI YA MPANGO KAZI WA SHIRIKA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYAKAZI.

 
Picha ya pamoja kati ya naofisa wa Bima na wataalam (Wakufunzi) kutoka India.


Bw. PrakashBhawani General Manager JB BODA Insurance Brokers PVT. Ltd ambaye alikuwa ni mmoja wa wataalamu waliokuja toa mafunzo ya Bima katika sekta ya Gesi na Mafuta.


Kaimu Mkurugenzi Ndugu Sam Kamanga akiwa kwenye picha ya pamoja na wakufunzi hao. Upande wa kushoto wa Bw. Kamanga ni Bw. N.B. Menon (Executive Director) JB BODA Insurance Brokers PVT. Ltd


Mkurugenzi mtendaji aliwaalika wageni wetu kwenye chakula cha mchana kabla hawajaelekea uwanja wa Ndege na kurudi kwao India. Wageni kutoka JB BODA Insurance Brokers -India walifurahishwa na mapokezi pamoja na ukarimu walioupata kutoka Shirika la Bima. 

Mafunzo haya ni mwendelezo wa mpango wa uongozi wa juu uliofanya katika juhudi za kuwaongezea uwezo wafanyakazi. Mpaka sasa mafunzo mbali mbali yamefanyika na wataalamu kutoka nje katika maeneo yafuatayo;

  1. Re-Insurance Accounting, 
  2. Risk Management in Oil and Gas Insurance
  3. Oil and Gas - Local content
  4. Oil and Gas Insurance -overview
Mafunzo yanayoandaliwa kwa sasa ni AGRO-INSURANCE. Bima ya Kilimo. Shirika linaazimia kuwajengea uwezo wafanyakazi wake kwenye eneo hilo kwa sababu uongozi unafikiria kuwa eneo hilo ndilo litakuwa na fursa kubwa kwa siku za usoni hasa ukuzingatia kuwa serikali imeisha anzisha Benki ya wakulima. Napenye Benki hapakosekani fursa ya biashara za Bima. Kwa wale watakaokuwa na hamu ya kupata utaalamu huo tunaomba wawasiliane na kaimu Mkurugenzi wa Bima za Mali na Ajali Bw. Lazaro Bangilana. Kumbukeni kuwa darasa linakuwa na wanafunzi 15 tu na nafasi zitatolewa kwa watu 15 wa kwanza na kutakuwa na nafasi 5 za stand-by.

TEAMWORK


Friday, April 29, 2016

KIKAO CHA MENEJIMENTI YA KAMATI YA UFUNDI YA COMESA - RCTG CHAFANYIKA DAR CHINI YA UENYEKITI WA NIC

Mwenyekiti wa kikao cha Menejimenti ya Ufundi ya COMESA- RCTG Ndugu Sam Kamanga akiongoza kikao ambacho kilifanyika Mwalimu kwenye ukumbi wa  Nyerere Dar Es Salaam.



Wajumbe wakifuatilia kikao kilivyokuwa kinaendelea 
na kwa upande wa kushoto ni mwakilishi 
kutoka MO-Insurance Bw. Kura Boniface.



Wajumbe wakifuatilia kikao kilivyokuwa kinaendelea.




Kiongozi wa sekretariati ya COMESA Bw. Berhane Giday akichangia jambo kwa wajumbe . Kulia ni Mwenyekiti wa Kikao hicho Bw. Sam Kamanga ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa NIC.



Picha ya pamoja ya baadhi ya wajumbe waliohudhuria 
kikao hicho kutoka nchi wanachama wa COMESA.

Thursday, April 28, 2016

ZIARA YA KAIMU MKURUGENZI MKUU MKOANI MWANZA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndugu Sa Kamanga alipokutana na 
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. John Mongella 






 Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndg. Sam Kmanga alipokutana na mawakala
wa NIC wa Mkoa wa Mwanza









Friday, April 8, 2016

NIC WHISTLE-BLOWING POLICY


NATIONAL INSURANCE CORPORATION OF TANZANIA LIMITED



"WHISTLE-BLOWING" POLICY
(Making a Disclosure in the Public Interest)

Introduction

The National Insurance Corporation of Tanzania Limited is committed to the highest standards of openness, probity and accountability.

An important aspect of accountability and transparency is a mechanism to enable staff and other members of the Corporation to voice concerns in a responsible and effective manner when they discover information/acts which they believe shows serious malpractice. 

It is a fundamental term of every contract of employment that an employee will faithfully serve his or her employer and not disclose confidential information about the employer’s affairs. Nevertheless, where an individual discovers information which they believe shows serious malpractice or wrongdoing within the Corporation then this information should be disclosed internally without fear of reprisal, and there should be arrangements to enable this to be done independently of line management (although in relatively minor instances the line manager would be the appropriate person to be told).


 Consultation goes to the heart of the Corporations’ culture, and avoids an individual having to resolve a difficult ethical situation alone. Staff should in the first instance consider consulting their line manager, or Service Line Leader. If uncomfortable about raising the matter through the Corporation’s normal reporting channels or with their human resources contact, they may want to seek assistance from this whistle-blowing policy.

Our whistle-blowing policy is therefore fundamental to the Corporation’s professional integrity. In addition, it reinforces the value the Corporation places on staff to be honest and respected members of their individual professions. It provides a method of properly addressing bona-fide concerns that individuals within the Corporation might have, while also offering whistle-blower’s protection from victimization, harassment or disciplinary proceedings.

It should be emphasized that this policy is intended to assist individuals who believe they have discovered malpractice or impropriety. It is not designed to question financial or business decisions taken by the Corporation nor should it be used to reconsider any matters which have already been addressed under complaint, disciplinary or other procedures. Once the "whistle-blowing” procedures are in place, it is reasonable to expect staff to use them rather than air their complaints outside the Corporation.


Scope of Policy

This policy is designed to enable employees of the Corporation to raise concerns internally and at a high level and to disclose information which the individual believes shows malpractice or impropriety. This policy is intended to cover concerns which are in the public interest and may at least initially be investigated separately but might then lead to the invocation of other procedures e.g. disciplinary. These concerns could include

·         Financial malpractice or impropriety or fraud
·         Failure to comply with a legal obligation or Statutes
·         Dangers to Health & Safety or the environment
·         Criminal activity
·         Improper conduct or unethical behaviour
·         Attempts to conceal any of these

Safeguards

i. Protection

This policy is designed to offer protection to those employees of the Corporation who disclose such concerns provided the disclosure is made:

·         in good faith
·         In the reasonable belief of the individual making the disclosure that it tends to show malpractice or impropriety and if they make the disclosure to an appropriate person. It is important to note that no protection from internal disciplinary procedures is offered to those who choose not to use the procedure. In an extreme case malicious or wild allegations could give rise to legal action on the part of the persons complained about.

All National Insurance Corporation staff are protected from victimization, harassment, threats, coercion or disciplinary action as a result of any disclosure, where the disclosure is made in good faith and is not made maliciously or for personal gain.


ii. Confidentiality

The Corporation will treat all such disclosures in a confidential and sensitive manner. The identity of the individual making the disclosure will be kept confidential.

iii. Anonymous Allegations

This policy encourages individuals to put their name to any disclosures they make, but they are not obliged to do so.

 iv. Procedures for Making a Disclosure

·         Raising the concern
Individuals may raise a concern through various channels including:
a.    Email
b.    Letter/Mail
c.    Drop Box
d.    Telephone
e.    Direct/face to face with a responsible officer.


The whistle-blower should make it clear that they are making their disclosure within the terms of the NIC’s whistle-blowing policy. This will ensure the recipient of the disclosure realizes this and takes the necessary action to investigate the disclosure and to protect the whistle-blower's identity.


On receipt of a disclosure of malpractice, the member of management who receives and takes note of the disclosure, must pass this information as soon as is reasonably possible, to the appropriate designated responsible officer as follows:

·         Disclosure of malpractice will be investigated by the appropriate Director unless the disclosure is against the Director or is in any way related to the actions of the Director. In such cases, the disclosure should be passed to the Managing Director/Director of Internal Audit for referral.
·         In the case of a disclosure, which is any way connected with but not against the Director, the Managing Director will nominate a Senior Manager to act as the alternative investigating officer.
·         Disclosures against the Managing Director/Director of Internal Audit should be passed to the Chairman of the Board of Directors (Chairman) who will nominate an appropriate investigating officer.
·         The Whistle-blower has the right to bypass the line management structure and take their disclosure direct to the Chairman. The Chairman has the right to refer the disclosure back to management if he/she feels that the management without any conflict of interest can more appropriately investigate the disclosure.


Timescales

Due to the varied nature of these sorts of complaints, which may involve internal investigators and / or the police, it is not possible to lay down precise timescales for such investigations. The investigating officer should ensure that the investigations are undertaken as quickly as possible without affecting the quality and depth of those investigations. Besides, all investigations should be compliant with Corporation’s regulations and labour laws.

Reward

Whistle-blower rewards under the policy will range from 15% to 30% of the amounts recovered by the Corporation, depending on a number of factors. 

MORNING PRAYER - SELFIE

SELFIE WITH MD AFTER ONE OF  FRIDAY'S MORNING PRAYER










Tuesday, March 8, 2016

ABRAHAM CHAWE 1956-2015

 HABARI KATIKA PICHA 

IBADA YA  MAZISHI   YA MAREHEMU ABRAHAM CHAWE YALIYOFANYIKA KIJIJI CHA IFWENGA -DABAGA MKOA WA IRINGA

Jeneza la Marehemu Abraham Chawe likiandaliwa kabla ya ibada ya mazishi.


Mwenyekiti wa Tuico NIC alikuwa mstari wa mbele kwenye shughuli za mazishi.


Mke na Mtoto wa Marehemu wakiomboleza kabla ya Ibada kuanza


Uongozi wa Shirika la Bima uliwakilishwa mazikoni kijijini Ifwenga - Iringa


Jeneza la Marehemu

Wachungaji wakiongoza Ibada



Baadhi ya Ndugu wa Marehemu


Nyumba ya milele ya mpendwa wetu Abraham Chawe.
R.I.P. Abraham Chawe

Wednesday, January 6, 2016

HONGERENI

 
Tukiwa tumefanikiwa kuumaliza mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016, Shirika la Bima la Taifa Tanzania linapenda kuchua nafasi hii kuwapongeza wafanyakazi hawa waliojaaliwa kufunga pingu za maisha ndani ya 2015, Pongezi za dhati kwao Bi Faith Robert, Bi Hajra Kadry, Bw. Juma Ayubu, Bw. Juma Kiungulia, Nasson Mwandumbya na Bw. Daniel Manupa. Tunawatakia maisha mema na baraka tele katika maisha yenu ya ndoa.
 
 
Bwana Juma Ayoub akiwa na mke wake wakati wa tafrija ya sherehe ya ndoa yao.

Bi. Faith Robert akiwa na mumewe mara baada ya kufunga pingu za maisha jijini Dar es Salaam.

Bi. Hajra Kadry akiwa na mumewe wakati wa tafrija ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

Bw. Juma Kiungulia akiwa katika picha ya pamoja na mke wake na  wafanyakazi wa NIC wakati wa tafrija ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaa.

Bw. Daniel Manupa na mkewe wakila kiapo cha ndoa yao.

Bw. Nasson Mwandumbya na mkewe wakiwa na nyuso za furaha wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.