Friday, April 29, 2016

KIKAO CHA MENEJIMENTI YA KAMATI YA UFUNDI YA COMESA - RCTG CHAFANYIKA DAR CHINI YA UENYEKITI WA NIC

Mwenyekiti wa kikao cha Menejimenti ya Ufundi ya COMESA- RCTG Ndugu Sam Kamanga akiongoza kikao ambacho kilifanyika Mwalimu kwenye ukumbi wa  Nyerere Dar Es Salaam.



Wajumbe wakifuatilia kikao kilivyokuwa kinaendelea 
na kwa upande wa kushoto ni mwakilishi 
kutoka MO-Insurance Bw. Kura Boniface.



Wajumbe wakifuatilia kikao kilivyokuwa kinaendelea.




Kiongozi wa sekretariati ya COMESA Bw. Berhane Giday akichangia jambo kwa wajumbe . Kulia ni Mwenyekiti wa Kikao hicho Bw. Sam Kamanga ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa NIC.



Picha ya pamoja ya baadhi ya wajumbe waliohudhuria 
kikao hicho kutoka nchi wanachama wa COMESA.

No comments: