Saturday, April 25, 2015

MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANZANIA.


MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR.


             
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Shirika la Bima la Taifa linapenda kuungana na wananchi wote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya Muungano.
               


           
Picha ikionyesha hayati baba wa Taifa akichanganya udongo kama ishara ya muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.



Pichani ikionyesha Raisi wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Raisi wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Aman Karume.



Pichani ni Management ya Shirika la Bima la Taifa katika Picha ya pamoja wakiwa na Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NIC Dr. Edmund Mndolwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Sam Kamanga pamoja na wakurugenzi, wakuu wa idara na mameneja wa matawi.


No comments: