Wednesday, April 15, 2015

FLEXI LIFE PROVIDER


Hii ni Bima ya Matumaini ya Miaka 9, bima hii inapofikia miaka (mitatu) 3 ya awali mafao ya asilimia 20 (20%) hulipwa kwa mteja na asilimia ishirini (20%0 hulipwa kwa mteja wa bima hii inapofikia miaka sita (6), mafao ya asilimia sitini (60%) na faida yake hulipwa bima inapofikia ukomo wa mkataba (miaka 9).


Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na matawi yote nchini kama picha chini zinavyoelekeza.


No comments: