![]() |
Hii ni Bima ya Matumaini ya Miaka 9, bima hii inapofikia
miaka (mitatu) 3 ya awali mafao ya asilimia 20 (20%) hulipwa kwa mteja na
asilimia ishirini (20%0 hulipwa kwa mteja wa bima hii inapofikia miaka sita
(6), mafao ya asilimia sitini (60%) na faida yake hulipwa bima inapofikia ukomo
wa mkataba (miaka 9).
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na matawi yote nchini kama picha chini zinavyoelekeza.
No comments:
Post a Comment