Ni bima iliyotengenezwa mahususi kwa ajili ya wafanyabiashara ili kuweka kinga dhidi ya hasara itokanayo na kuibiwa, moto na kuibiwa fedha kutokana na ubadhilifu wa wafanyakazi wa kampuni yako. Fika katika matawi yetu popote nchini ili upate huduma hiyo kuweka kinga dhidi ya majanga hayo katika biashara yako.
No comments:
Post a Comment