Tuesday, June 2, 2015

USALAMA BARABARANI


Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza, Mohamed Likwata akizungumza na wasafiri waliokuwa wakielekea Bukoba, kwenye Kituo cha Mabasi Nyegezi jana, wakati wa kampeni ya “Zuia Ajali Sasa,Toa Taarifa Mapema” kupitia namba 0800757575 bure, kampeni inayoendeshwa kwa pamoja kati ya Vodacom Tanzania, Jeshi hilo na vituo vya ITV/Redio One. Kampeni hiyo ilibuniwa kuwadhibiti madereva wakorofi wasiozingatia sheria za usalama barabarani wakiwa safarini. 
Baadhi ya picha za ajali mbaya zilizowahi kutokea nchini Tanzania na kupoteza uhai wa wananchi.


No comments: