Monday, June 8, 2015

UANDIKISHAJI WAPIGA KURA



Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasema imevuka malengo ya uandikishaji wapiga kura katika mikoa ya kusini ambapo mkoani Lindi wameandikishwa 569,261, Ruvuma 826,779, Iringa walioandikishwa ni 526,006 na Mtwara walioandikishwa ni 682, 295. Himahima "Mfanyakazi jiandikishe, kura yako inathamani kwa maendeleo yetu".

No comments: