Thursday, January 7, 2016
Wednesday, January 6, 2016
HONGERENI
Bi. Faith Robert akiwa na mumewe mara baada ya kufunga pingu za maisha jijini Dar es Salaam.
Bi. Hajra Kadry akiwa na mumewe wakati wa tafrija ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Bw. Juma Kiungulia akiwa katika picha ya pamoja na mke wake na wafanyakazi wa NIC wakati wa tafrija ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaa.
Bw. Daniel Manupa na mkewe wakila kiapo cha ndoa yao.
Bw. Nasson Mwandumbya na mkewe wakiwa na nyuso za furaha wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Monday, December 21, 2015
BIMA YA UJENZI (CONTRACTOR'S ALL RISKS)
BIMA YA UJENZI (CONTRACTOR'S ALL RISKS)
Bima hii inatoa kinga ya ujenzi wa majengo, barabara, madaraja, n.k. dhidi ya uharibifu wa kitu kinachojengwa. Performance Bonds, na advance payments bonds ni bima zinazotoa dhamana kwa mkandarasi, atafanya kazi yake ya ujenzi kadri ya mkataba unavyoelekeza. Fika katika ofisi za NIC upate huduma hii.
Tuesday, October 6, 2015
HUDUMA KWA JAMII - NIC YAALIKWA KWENYE MAHAFALI YA 32 YA KIDATO CHA NNE KWENYE SHULE YA WASICHANA KIFUNGILO, LUSHOTO MKOANI TANGA
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA BW. SAM KAMANGA AKITAMBULISHWA RASMI KWA WAGENI WAALIKWA.
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
BW. SAM KAMANGA AKIHUTUBIA WAGENI WAALIKWAMGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
AKIWAZAWADIA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI
WA KIDATO CHA 4 "CLASS OF 2015"
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA AKITOA SHUKRANI
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
AKIWAZAWADIA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI
WA KIDATO CHA 4 "CLASS OF 2015"
PICHA YA PAMOJA NA WANAFUNZI "CLASS OF 2015"
Subscribe to:
Posts (Atom)






