Friday, November 28, 2014

MKUTANO WA MENEJIMENTI YA SHIRIKA LA BIMA ULIOFANYIKA KATIKA HOTELI YA GIRAFFE ILIYOPO DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika akifungua Mkutano wa Menejimenti



Mkurugenzi wa Bima za Maisha akifungua kikao kwa "SALA" maalum.


Wajumbe wakipitia taarifa kabla hazijawasilishwa kwenye kikao.


Mkurugenzi wa Fedha na Utawala akitoa mchango wake.



Chief Meneja wa ICT akiwasilisha hoja Mkutanoni


Mkurugenzi wa Fedha na Utawala  Bi. Anne Mbughuni akiwasilisha hoja Mkutanoni


Mkurugenzi wa Bima zisizo za Misha Bw. Kura Boniface akisisitiza jambo.


Meneja wa Mkoa wa Dodoma Bw. Lugano Stanton 
akichangia katika moja ya hoja zilizo wasilishwa kwenye mkutano.


Kaimu Meneja wa Uwekezaji na Mipango Bi. Sabra Abdul-Rahman 
akiwasilisha bajeti ya shirika ya 2015-16

Kaimu Meneja wa Uwekezaji na Mipango Bi. Sabra Abdul-Rahman 
akiwasilisha jambo.


Meneja wa Bima za Maisha Bw. Henry Mwalwisi akitoa Mchango wake

Meneja wa Mkoa wa Bukoba Bw. Mazagwa naye 
akichangia jambo kwenye hoja iliyowasilishwa mkutanoni.


Meneja wa Bima za Maisha Bw. Isihaka Kibamba akitoa Mchango wake


Mkurugenzi wa Masoko Bw. Henry Machoke akichangia katika 
moja ya  hoja zilizo wasilishwa Mkutanoni


Mkurugenzi wa Audit Bw. Gosbert Kafanabo akiwasilisha hoja Mkutanoni



Meneja wa Mkoa wa Tawi la Ubungo Bw. Segeja Mabula naye 
akitoa mchango wake kwenye hoja iliyowasilishwa mkutanoni.


Wakurugenzi wa Masoko na Audit kwa pamoja 
wakichangia jambo kwenye hoja iliyowasilishwa mkutanoni.


Mkurugenzi Mtendaji Bw. Justine Mwandu akifafanua jambo Mkutanoni


No comments: