Meneja wa Tawi la Bukoba Bw. Ismail Bitegeko akimkabidhi hundi mteja wa shirika la bima la taifa NIC
Thursday, January 31, 2013
Wednesday, January 30, 2013
Ushiriki wa shirika la Bima katika maonyesho ya Nane Nane kitaifa Dodoma 2012
Mission and Vision of NIC
Mmoja wa wateja akitembelea banda la maonyesho la shirika la bima, Nane Nane 2012 - Dodoma
Meneja wa Tawi la Dodoma Bw. Lugano Stanton akitoa elimu ya bima
kwa wateja waliotembelea banda la shirika la bima (NIC)
Mteja akisaini kitabu cha wageni
Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke akizungumza na wanafunzi
Wanafunzi wakimuuliza maswali Mkurugenzi wa masoko Bw. Henry Machoke
Kaimu Mkurugenzi Mkuu Bw. Justine Mwandu akibabadilishana mawazo na
Mkurugenzi wa Masoko Bw. Henry Machoke
Afisa wa Bima kutoka tawi la Dodoma Bw. Milton Mlaki akizungumzia jambo na wateja
Shirika la Bima (NIC) ladhamini wa mashindano ya magari ya PUMA ENERGY RALLY ya mwaka 2012
Washindi wa mashindano ya PUMA ENERGY RALLY 2012
Meneja Masoko Bw. Elisante Maleko akiwa na mgeni rasmi
Mstahiki Meya wa Manispa ya Ilala Mhe. Jerry Slaa.
Moja ya magari ya mashindano likiondoka kituoni
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa shirika la bima (NIC) Bw. Justine Mwandu
akitoa ishara ya kuliruhusu moja ya magari ya mashindano kuondoka kituoni.
Meneja Masoko Bw.Elisante Maleko akipokea cheti cha kushukuru udhamini wa mashindano ya magari kwa niaba ya shirika la bima (NIC) kutoka kwa mwakilishi wa PUMA ENERGY RALLY 2012
Matukio mbali mbali ya mwaka 2012
Mwenyekiti wa Bodi ya shirika la Bima la Taifa NIC - Balozi Charles Mutalemwa akihutubia menejimenti ya NIC kwenye moja ya mikutano ya menejimenti iliyofanika mwaka 2012.
Monday, January 28, 2013
Friday, January 25, 2013
Thursday, January 24, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)