Monday, September 14, 2015

NIC YASHIRIKI KATIKA MAONYESHO NA MKUTANO WA DIASPORA PARTNERSHIP CONFERENCE 2015


Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Cheti ya ushiriki kwenye "Diaspora Partnership 2015 Conference"  
Kaimu Mkuugenzi Mkuu wa NIC Bw. Sam Kamanga



Afisa Masoko wa Shirika la Bima la Taifa Bw. Alex(wa Tatu kutoka kushoto waliosimama) aliiwakilisha kikamilifu NIC kwenye mkutano na maonyesho ya Diaspora.



Picha ya pamoja ya wadhamini wa mkutano na maonyesho ya "Diaspora Partnership 2015 Conference"  

No comments: