Thursday, December 11, 2014

MAZISHI YA MAREHEMU BONNIE

Umati mkubwa wajitokeza kwenye mazishi ya marehemu Bonnie.





















RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU BONAVENTURE NTONGA


TANZIA - MAREHEMU BONAVENTURA PETER A.K.A BONNIE

Kwa masikitiko makubwa tunawaharifu kifo cha mfanyakazi mwenzetu Ndugu Bonaventura Peter ambaye alikuwa dereva wa Mkurugenzi mtendaji  kilichotokea majuzi. 

Mauti yalimkuta marehemu Bonnie akiwa shambani kwake Kibaha. Mazishi yanafanyika leo tarehe 11/12/2014 Saa 10 na Nusu jioni katika makaburi ya  Tabata - Segerea . Misa ya kumwombea marehemu itafanyika kwenye kanisa la KRISTU MFAME (liliopo Tabata Magengeni).

"Mungu ailaze Roho ya Marehemu mahali pema  peponi" Amen

Marehemu Bonaventura Peter "Bonnie"  
(aliyevalia shati Jekundu wakati wa uhai wake)