Monday, December 21, 2015
BIMA YA UJENZI (CONTRACTOR'S ALL RISKS)
BIMA YA UJENZI (CONTRACTOR'S ALL RISKS)
Bima hii inatoa kinga ya ujenzi wa majengo, barabara, madaraja, n.k. dhidi ya uharibifu wa kitu kinachojengwa. Performance Bonds, na advance payments bonds ni bima zinazotoa dhamana kwa mkandarasi, atafanya kazi yake ya ujenzi kadri ya mkataba unavyoelekeza. Fika katika ofisi za NIC upate huduma hii.
Tuesday, October 6, 2015
HUDUMA KWA JAMII - NIC YAALIKWA KWENYE MAHAFALI YA 32 YA KIDATO CHA NNE KWENYE SHULE YA WASICHANA KIFUNGILO, LUSHOTO MKOANI TANGA
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA BW. SAM KAMANGA AKITAMBULISHWA RASMI KWA WAGENI WAALIKWA.
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
BW. SAM KAMANGA AKIHUTUBIA WAGENI WAALIKWAMGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
AKIWAZAWADIA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI
WA KIDATO CHA 4 "CLASS OF 2015"
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA AKITOA SHUKRANI
MGENI RASMI KAIMU MKURUGENZI WA SHIRIKA LA BIMA
AKIWAZAWADIA WANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI
WA KIDATO CHA 4 "CLASS OF 2015"
PICHA YA PAMOJA NA WANAFUNZI "CLASS OF 2015"
Monday, September 14, 2015
MKURUGENZI MTENDAJI ATEMBELEA WATEJA WAKUBWA DODOMA NA MAOYESHO YA NANENANE
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw.Sam Kamanga akutana na uongozi
wa juu wa chuo Kikuu cha UDOM
UDOM
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Bw.Sam Kamanga akutana na uongozi
wa juu wa chuo Kikuu cha IRDAP
Chuo cha IRDAP
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Bima Bw. Sam Kamanga
atembelea Banda la NIC katika maonyesho ya NaneNane
Meneja wa Tawi la Dodoma akimpa maelezo Kaimu Mkurugenzi Mkuu
wa Shirika la Bima Bw. Sam Kamanga
Subscribe to:
Posts (Atom)